资讯

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman. Dar es Salaam. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema kitendo cha kuzuiliwa kwa saa nane na mamlaka za Angola ni ...
Wizara ya Afya nchini Tanzania imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa Virusi vya Marburg, MVD ambao ulisababisha vifo vya watu 10 mkoani Kagera. Tangazo hili limetolewa baada ya vipindi ...
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, leo limeonya kwamba kupunguzwa kwa ufadhili hasa wa Marekani kunatishia mafanikio ya miongo kadhaa katika mapambano dhidi ya kifua kikuu au TB, ambao ...