资讯

Ukiona mti umekauka ghafla, usikimbilie kukata chunguza mizizi yake. Ndivyo ilivyo kwa wanawake wengi wanapoingia kwenye kipindi cha ukomo wa hedhi. Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO ...
Hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kuweka ushuru kwa bidhaa zinazotoka nchi mbalimbali ulimwenguni imezua taharuki kubwa ya kibiashara na uchumi nchini Marekani na kwingineko ulimwenguni ...
Waasi wa M23 wamekubaliana na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC, juu ya kuondoka kwa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Waasi wa M23 wamekubaliana na ...
Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest amehoji sababu za kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati anataka mabadiliko. Anatropia ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumanne ...
WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchangia damu kwa hiyari, kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo, ili kuokoa wahitaji wakiwamo majeruhi, wajawazito na watoto. Aidha wananchi wametolewa hofu kuwa ...
Ukraine na Urusi, zimelaumiana kwa kuvunja mkataba wa saa 30 wa kusitisha vita kipindi cha Pasaka, mpango uliotangazwa na rais Vladimir Putin, Jumamosi iliyopita. Rais Volodymyr Zelensky ...
Rais wa Kenya William Ruto amewasili Beijing siku ya Jumanne jioni, Aprili 22, kwa ziara ya kiserikali itakayoendelea hadi Aprili 26, kwa mwaliko wa mwenzake wa China. Moja ya malengo ya Nairobi ...
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema katika tathmini yake kwenye miradi minne iligundua kuwa Sh. 2,014,922,360 zililipwa kwa fedha taslimu, ikiwa ni malipo ya ...
MARSEILLE, UFARANSA: MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akatimkia Saudi Arabia katika dirisha la majira ya kiangazi baada ya matajiri hao kuweka mezani Euro 90 milioni kwa ajili ya ...
Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo ...
ZANZIBAR: RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya Simba ya Dar es Salaam kwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, mmchezo kwa kwanza wa nusu ...
Shambulizi hilo limetokea wakati pande zote mbili hasimu wanamgambo wa Hamas na Israel wakithibitisha kupokea pendekezo jipya kutoka kwa wapatanishi likinuiwa kusitisha mashambulizi wakati wa siku ...