资讯
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema katika tathmini yake kwenye miradi minne iligundua kuwa Sh. 2,014,922,360 zililipwa kwa fedha taslimu, ikiwa ni malipo ya ...
Rais wa zamani wa DR Congo, Joseph Kabila ameahidi kurejea Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo baada ya kutokuwepo kwa miaka miwili. Kurejea kwa Bw Kabila kutakuwa na maana gani katika eneo hilo ...
Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Amend Tanzania, imezindua rasmi awamu ya pili ya kampeni ya ‘Be Road Safe Africa’, mpango wa kimkakati wa usalama barabarani ...
Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la uhaini ...
Katibu Mkuu amesema juhudi za kina za kisiasa, za kuratibiwa vema na za dharura lazima zichukuliwe na zinahitajika ili kuzuia kumomonyoka zaidi kwa Sudan. “Tukiwa ni jumuiya ya kimataifa, lazima ...
Hapo zamani za kale, simu ya ufafanuzi wa teknolojia ilikuwa "simu kwa kila mtu" - na kwa kweli mawasiliano ya simu yameleta mapinduzi makubwa katika biashara (na ulimwengu). Leo, sawa na simu hiyo ni ...
MADRID, HISPANIA: LIGI ya Mabingwa Ulaya inaendelea leo kwa michezo miwili ya robo fainali kupigwa, lakini mechi inayotarajiwa kutazamwa zaidi na watu wengi ni ile kati ya Arsenal na Real Madrid ...
Wakati Wakristo leo wakiadhimisha mateso na kifo cha Bwana Yesu Kristo, wamekumbushwa kuwa na tumaini, upendo, umoja pamoja na mshikamano. Akizungumza kuhusu siku hii alipozungumza na Mwananchi kwa ...
Naweza kusema ni kipindi kigumu ambacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinapitia kwa sasa. Ni wazi kuwa chama hiki hivi sasa kinapitia wakati mgumu baada ya Mwenyekiti wake Taifa, Tundu ...
Lewandowski alifunga bao lake la 10 na 11 katika mashindano ya Ulaya msimu huu dakika ya 48 na 66 dhidi ya wababe hao kutoka Ujerumani. Kwa kufanya hivyo, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amekuwa ...
Marekani ilitangaza wiki iliyopita kuwa imeidhinisha uuzaji wa ndege 20 za kivita za F-16 kwa Ufilipino, ingawa Manila imesema mkataba huo "bado upo kwenye mazungumzo." "Kasi ya muungano wetu ...
失联后如何获取最新地址: 方法1:邮箱发送任意邮件至 每日大乱斗官方邮箱可获取最新地址 牢记官方邮箱:[email protected] 请把网址或者QQ群分享给身边有需要的人 ,您的转发、分享是我们前进的动力😘~ ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果