Rais wa Congo Félix Tshisekedi anataka kurudisha ardhi aliyoipoteza kwa waasi, ikiwemo mji mkubwa wa mashariki wa Goma, na kuzuia waasi hao kuchukua zaidi. Anamshutumu Rais wa Rwanda Paul Kagame ...
Alikabidhiwa kwa FLA siku ya Jumapili jioni katika eneo la Ezdjarat, karibu kilomita mia moja kaskazini mwa Ménaka. Waasi hao kisha wanadai kumrejesha, jana Jumatatu, katika kambi ya FLA huko ...
Lissu amemng'oa madarakani Freeman Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kama mwenyekiti kwa miongo miwili. Mbowe amekuwa wa kwanza kukiri kushindwa na kumpongeza Lissu kupitia mtandao wa X.
Philémon Yang Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa leo ameorodhesha maeneo makuu ya shughuli na matukio ya ngazi ya juu kwa mwaka huu wa 2025 akisema kuwa lugha mbalimbali na uwezeshaji wa wanawake ...
Washtakiwa wanne, wanaokabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine na kutakatisha Sh5 milioni, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Picha ...
Geita. Wadau wa Mahakama Mkoa wa Geita wamesema licha ya uendeshaji wa Mahakama kwa njia ya mfumo wa teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) kuwa na tija, bado jamii ina uelewa mdogo kuhusu ...
Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Vodacom Tanzania, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania ...
Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), lililokutana leo baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu wa chama hicho, limemthibitisha John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa chama. Jana, CHADEMA ...