资讯

WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchangia damu kwa hiyari, kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo, ili kuokoa wahitaji wakiwamo majeruhi, wajawazito na watoto. Aidha wananchi wametolewa hofu kuwa ...
Lusajo alifunga bao hilo dakika ya 42, akiunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Abdul Suleiman ‘Sopu’ na kuisawazishia Azam baada ya Hijjah Shamte kuitanguliza Kagera dakika 26, kisha Idd Seleman ...
Shambulizi hilo limetokea wakati pande zote mbili hasimu wanamgambo wa Hamas na Israel wakithibitisha kupokea pendekezo jipya kutoka kwa wapatanishi likinuiwa kusitisha mashambulizi wakati wa siku ...
Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Amend Tanzania, imezindua rasmi awamu ya pili ya kampeni ya ‘Be Road Safe Africa’, mpango wa kimkakati wa usalama barabarani ...
Kilumbe amesema wafanyabiashara na wanaolisha tenda mbalimbali kwenye taasisi za umma wanafilisika kwa sababu ya ongezeko la madeni na riba ambalo lipo kwenye taasisi za kifedha. Ametoa kauli hiyo ...
Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo ...
Kwa sababu katika enzi hii ya Trump 2, Ikulu ya White House inachagua kutofuata maamuzi ya mahakama na majaji wawili sasa wanatishia ikiwa utawala wa shirikisho utaendelea kukiuka maamuzi yao ...
Manchester City wanatazamia kufufua shauku yao ya kumnunua kiungo wa kati wa Newcastle na Brazil Bruno Guimaraes, 27, wakati wanajiandaa kuondoka kwa Mbelgiji Kevin de Bruyne, 33. (UOL esporte ...
Hatua ya RSF inakuja wakati huu mapigano nchini Sudan yakiingia katika mwaka wake wa pili, mzozo ambao umepelelekea kutokea kwa mojawapo ya hali mbaya zaidi ya kibinadamu duniani. Kulingana na ...
"Tulikuwa tukitambaa chini," anakumbuka tukio hilo, akiwa amemshikililia mwanawe wa kiumme kwa karibu. "Ilikuwa vurugu." Bi Williams, 33, ni mama wa watoto watano kutoka nchini Sudan Kusini.
Kundi lingine linadai Simba kali ni ile ya 1979 iliyopindua meza kibabe katika michuano ya CAF kwa kushinda 5-0 ugenini huko Zambia baada ya awali kulala 4-0 nyumbani. Lakini, kuna wengine wanasema ...