Mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika umeagiza kutumwa mara moja kwa mawaziri wa ulinzi na wakuu wa ulinzi kwa nchi zinazochangia wanajeshi nchini DRC ...
Shirika la Afya Duniani (WHO) linaonesha wasiwasi mkubwa kuhusu athari za kusitishwa kwa ufadhili wa mara moja kwa programu za HIV katika nchi za kipato cha chini na cha kati. Programu hizi hutoa ...
Washtakiwa wanne, wanaokabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine na kutakatisha Sh5 milioni, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Picha ...
Geita. Wadau wa Mahakama Mkoa wa Geita wamesema licha ya uendeshaji wa Mahakama kwa njia ya mfumo wa teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) kuwa na tija, bado jamii ina uelewa mdogo kuhusu ...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara Baruti.