资讯
Lusajo alifunga bao hilo dakika ya 42, akiunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Abdul Suleiman ‘Sopu’ na kuisawazishia Azam baada ya Hijjah Shamte kuitanguliza Kagera dakika 26, kisha Idd Seleman ...
WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchangia damu kwa hiyari, kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo, ili kuokoa wahitaji wakiwamo majeruhi, wajawazito na watoto. Aidha wananchi wametolewa hofu kuwa ...
Na ndipo tunapoanzia: Simba SC imeshinda bao 1-0 dhidi ya timu hiyo ya Afrika Kusini. Lakini kwa mashabiki wengi wa soka, huu ni ushindi wenye ladha ya kushindwa. Ushindi ambao unaficha udhaifu ...
Hilo ndilo onyo kutoka kwenye ripoti mpya ya Mkakati wa Spotlight wa Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa ...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira,amepokelewa kwa kishindo mkoani Shinyanga. Mapokezi hayo yamefanyika leo Machi 26,2025,wakati alipowasili mkoani humo kwa ...
Kwa miaka mitatu, kiongozi huyo wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani amefunguliwa mashtaka kwa tuhuma za ubadhirifu wa karibu dola milioni 200 zilizokusudiwa kwa mradi wa Hifadhi ya Chakula ya ...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Dar es Salaam. Mwenyikiti wa Chama ...
“Asante kwa kuwa nami, nakuombea kila siku.” “Mungu akubariki,” amesema tena kabla ya kumpa mkono. Papa alimkabidhi makamu wa rais wa Marekani zawadi, zikiwemo rozari, tai yenye nembo ya ...
"Tulikuwa tukitambaa chini," anakumbuka tukio hilo, akiwa amemshikililia mwanawe wa kiumme kwa karibu. "Ilikuwa vurugu." Bi Williams, 33, ni mama wa watoto watano kutoka nchini Sudan Kusini.
"Asante kwa kunirudisha kwenye uwanja." Ni miongoni mwa maneno ya mwisho ya Papa Francis aliyoyatoa kwa ambao katika wakati wa ugonjwa, lakini hata muda mrefu uliopita, walimwangalia bila kuchoka.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果