Wakati mkewe Sylvia na mtoto wao wa kiume Noureddin wakiwa bado korokoroni, rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo Ondimba ameamua kuanzisha mgomo mpya wa kula ili kupinga kuendelea kuzuiliwa licha ya ...
Maelezo ya picha, Gabbard ana miaka 43; alikuwa na umri wa miaka 31 tu alipochaguliwa kuwa Congress. 17 Februari 2025 Bunge la seneti nchini Marekani lilimuidhinisha aliyekuwa mbunge Tulsi Gabbard ...
*Mbunge naye ahusishwa kumwanga fedha kiasi cha 5,000 hadi 50,000/- kwa wajumbe ili wamuunge mkono, mwenyewe ajibu Na Shomari Binda, Rorya JOTO la Uchaguzi ndani ya ...
Wakati waasi wa M23 ikiendelea kusonga mbele kuelekea ‘maeneo mengine ya kimkakati’ mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, baada ya kuteka miji ya Goma jimboni Kivu Kaskazini na Bukavu ...
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP Salum Hamduni, amezindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga. Ameeleza kwamba bodi hiyo ni ya muhimu katika uendeshaji wa huduma za ...
Youssef alishinda pia raundi ya sita kwa kupata kura 26 dhidi ya 22, na hivyo Odinga kulazimika kujitoa na kuacha Youssouf apigiwe kura, ambapo alifanikiwa kufikisha 2/3 na kutangazwa kua mshindi na ...
UNAKUMBUKA mabao matatu ya hivi karibuni aliyofungwa Yanga? Sasa kocha wa timu hiyo Hamdi Miloud ameona usinchezee. Ameamua kufanya uamuzi wa haraka ili kunusuru jahazi hilo na misukosuko haswa ...
BENKI ya Azania imetangaza uzinduzi wa mfumo wake mpya wa kidijitali wa kibenki, AZANIA DIGITAL, ambao ni jukwaa la kisasa linalolenga kutoa suluhisho la kibenki linalofaa kwa wateja kote nchini.
Mkali huyu wa Hip-hop anayeshikilia rekodi ya kuwa na albamu nyingi zaidi kati ya wasanii wa muziki huo na akishika namba tatu kati wa wasanii Bongo wenye albamu nyingi tayari ameachia Sauti ya Jogoo ...
NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekaribisha kuundwa kwa serikali mpya nchini Lebanon na kuthibitisha kujitolea kwa jumuiya ya kimataifa katika kuhakikisha uadilifu wa ...
Marekani iko chini ya mamlaka mpya. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, anajiunga na orodha inayokua ya washirika wa Marekani wanaogundua kuwa dunia chini ya Donald Trump haina uhakika na inaweza ...
SIMBA nd’o zetu. Huu ni msemo uliozoeleka kwa mashabiki wa klabu hiyo linapokuja suala la mechi za kimataifa. KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto', ni mmoja ya wachezaji waliobahatika ...