Waliofuatia ni Emily Adolf (1995), Shose Sinare (1996), Saida Kessy (1997), Basilla Mwanukuzi (1998) na Hoyce Temu (1999) ...
MICHEZO ya mtoano ya kuwania kufuzu kucheza hatua ya 16 bora inaendelea ambapo jana kulikuwa na mechi nne na iliyokuwa ...
Dodoma. Serikali ya Tanzania imeanza kufuatilia utekelezaji wa katazo la matumizi ya kuni na mkaa kwa taasisi za umma na binafsi zinazoandaa chakula na kulisha watu zaidi ya 100. Kauli ...
Brian Deacon ni jina la mwigizaji maarufu wa Uingereza aliyecheza kama Yesu Kristo katika filamu ya 'Jesus' (1979), ...
Naibu Spika wa Bunge, Musa Zungu ameitaka Serikali kufuatilia malalamiko ya vikundi vinavyoomba mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu kuwa hawatendewi haki na baadhi ...
Amejinasua, ndilo neno unaweza kulitumia kuelezea namna mkazi wa Msata Bagamoyo Mkoa wa Pwani, Hamis Luvumbagu alivyoepuka ...
Serikali imetangaza nafasi 2,611 za ajira Februari 10, 2025 huku kati ya nafasi hizo asilimia 98 ni za walimu wa kada ...
Mwili wa Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nicodemus Banduka (80) ambaye utazikwa leo Jumatano Februari 12, 2025 katika makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika ...
KIUNGO wa Arsenal, Jorginho ameripotiwa kufikia makubaliano ya kujiunga na Flamengo kwa uhamisho wa bure mwishoni mwa msimu huu.
NA leo tena. Mechi za mchujo za Ligi ya Mabingwa Ulaya za kuwania tiketi ya kucheza kwenye mtoano wa hatua ya 16 bora zinapigwa usiku wa leo Jumatano, huku mashabiki wa mikikimikiki ...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bara, Stephen Wasira akizungumza na wafuasi wa chama hicho katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza. Picha na Mgongo Kaitira. Makamu Mwenyekiti wa ...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumatano Februari 12, 2025 inatarajia kuanza kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwa lengo la kupotosha umma, inayomkabili Meya ...