Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia askari wawili wa Jeshi la Magereza kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Emmanuel Chacha (18) ...
Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare ...
Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa wito wa kulinda amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, wadau ...
Miamala ya mikopo ya kidijitali nchini Tanzania imeshuhudia ongezeko kubwa mwaka 2024, ikiongezeka kwa asilimia 91.49 hadi ...
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimesababisha madhara kwenye daraja wilayani Maswa mkoani Simiyu.
Wakati miundombinu ya Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) ikitajwa kuchakaa na kuzidiwa, hivyo kusababisha upatikanaji hafifu wa ...
Serikali imetoa zaidi ya Sh9.3 bilioni kwa ajili ya kutekeleza mradi wa maji utakaopunguza tatizo la maji katika vijiji 31, ...
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza walezi wa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu mkoani ...
Rais wa mpito wa Burkina Faso, Kapteni, Ibrahim Traoré, amewasamehe wanajeshi 21 waliokutwa na hatia ya kujaribu kupindua ...
Watendaji wa vijiji na Kata wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wanaokiuka taratibu za kisheria katika masuala ya ardhi na ...
Nimefurahishwa na ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan kwamba Serikali imejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu 2025 unafanyika kwa haki na furaha yangu kubwa ni neno ‘Haki’ kwa kuwa haki na amani ...
Mjadala wa ukomo kwa nafasi ya ubunge wa jimbo, umeanza kupamba moto huku baadhi ya wasomi na wananchi wakiikumbuka Rasimu ya ...