资讯
Katika mkutano wa kilele wa dharura kuhusu mabadiliko ya tabianchi uliofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da ...
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza viwango vipya vya ushuru kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo, viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzoni mwa karne iliyopita. "Leo ni Siku ya Ukombozi ...
WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchangia damu kwa hiyari, kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo, ili kuokoa wahitaji wakiwamo majeruhi, wajawazito na watoto. Aidha wananchi wametolewa hofu kuwa ...
Rais wa zamani wa DR Congo, Joseph Kabila ameahidi kurejea Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo baada ya kutokuwepo kwa miaka miwili. Kurejea kwa Bw Kabila kutakuwa na maana gani katika eneo hilo ...
Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest amehoji sababu za kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati anataka mabadiliko. Anatropia ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumanne ...
Lakini ukweli ni kwamba mara mtu anapougua ndani ya familia, si tu hofu ya ugonjwa inayotia wasiwasi. Bili za hospitali nazo zinaweza kuwa mzigo mkubwa. Kwa familia nyingi, gharama za matibabu hulipwa ...
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametangaza uamuzi mgumu dhidi ya nchi ya Malawi na Afrika Kusini kwa kuzuia mazao yoyote ya kilimo kuingia nchini kutoka na nchi hizo kukakataa kubadili msimamo wao wa ...
Hili bado si suluhu, wala si usitishaji mapigano, bali ni tamko la nia. Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari iliyochapishwa siku ya Jumatano, Aprili 23, serikali ya DRC na AFC/M23 walisema ...
Hilo ndilo onyo kutoka kwenye ripoti mpya ya Mkakati wa Spotlight wa Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa ...
Je, Paul Biya atawania kwa muhula mwingine tena katika uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Oktoba 2025? Akiwa na umri wa miaka 92 na tayari ana miaka 43 madarakani, rais wa Cameroon anafanya ...
Tanasha, mwanamuziki na mwanamitindo kutoka Kenya, jina lake lilitakata Afrika Mashariki kufuatia kushirikiana na Diamond katika wimbo ‘Gere’ kutoka katika EP yake, DonnaTella (2020) ambao ulivuma kwa ...
Kwa sasa Simba inahitaji sare tu au ushindi kutinga fainali ya michuano hiyo ambapo Fadlu ataweka rekodi ya kuirudisha tena timu hiyo fainali ya michuano ya CAF baada ya miaka 32 kutokana na mwaka ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果