资讯
Katika mkutano wa kilele wa dharura kuhusu mabadiliko ya tabianchi uliofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres na Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da ...
WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchangia damu kwa hiyari, kutokana na mahitaji makubwa yaliyopo, ili kuokoa wahitaji wakiwamo majeruhi, wajawazito na watoto. Aidha wananchi wametolewa hofu kuwa ...
Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest amehoji sababu za kuwekwa ndani kwa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati anataka mabadiliko. Anatropia ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumanne ...
Lakini ukweli ni kwamba mara mtu anapougua ndani ya familia, si tu hofu ya ugonjwa inayotia wasiwasi. Bili za hospitali nazo zinaweza kuwa mzigo mkubwa. Kwa familia nyingi, gharama za matibabu hulipwa ...
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametangaza uamuzi mgumu dhidi ya nchi ya Malawi na Afrika Kusini kwa kuzuia mazao yoyote ya kilimo kuingia nchini kutoka na nchi hizo kukakataa kubadili msimamo wao wa ...
Hili bado si suluhu, wala si usitishaji mapigano, bali ni tamko la nia. Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari iliyochapishwa siku ya Jumatano, Aprili 23, serikali ya DRC na AFC/M23 walisema ...
Hilo ndilo onyo kutoka kwenye ripoti mpya ya Mkakati wa Spotlight wa Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa ...
Je, Paul Biya atawania kwa muhula mwingine tena katika uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Oktoba 2025? Akiwa na umri wa miaka 92 na tayari ana miaka 43 madarakani, rais wa Cameroon anafanya ...
Tanasha, mwanamuziki na mwanamitindo kutoka Kenya, jina lake lilitakata Afrika Mashariki kufuatia kushirikiana na Diamond katika wimbo ‘Gere’ kutoka katika EP yake, DonnaTella (2020) ambao ulivuma kwa ...
Mshauri Mkuu wa Marekani barani Afrika Massad Boulos amesema kuwa Rais Donald Trump anaithamini Afrika, licha ya kutangaza kupunguzwa kwa misaada ambayo imesababisha maafa makubwa ya kibinadamu ...
Kwa sasa Simba inahitaji sare tu au ushindi kutinga fainali ya michuano hiyo ambapo Fadlu ataweka rekodi ya kuirudisha tena timu hiyo fainali ya michuano ya CAF baada ya miaka 32 kutokana na mwaka ...
Uongozi wa timu ya Junguni United iliyopo Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) umewafukuza wachezaji saba wa timu hiyo kwa tuhuma za kujihusisha na michezo ya kubashiri matokeo ya mchezo (betting). Wachezaji ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果