资讯
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekutana na viongozi wakuu wa kampuni za kandarasi kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT), madaraja pamoja na ...
Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Amend Tanzania, imezindua rasmi awamu ya pili ya kampeni ya ‘Be Road Safe Africa’, mpango wa kimkakati wa usalama barabarani ...
Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kime wataka baadhi ya viongozi kuacha tabia ya kuwagombanisha Wazanzibar na kusababisha kuuana kwa kisingizio cha Uchaguzi. Kimewataka viongozi hao kuacha mara moja ...
Ujumuishaji wa kijamii ndio maudhui ya siku ya kimataifa ya michezo kwa maendeleo na amani iliyoadhimishwa tarehe 6 Aprili, lengo ni kuona ni kwa vipi michezo inajumuisha kila mtu bila kujali jinsia, ...
Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz amesema serikali ya Lebanon inawajibika moja kwa moja kwa mashambulizi yoyote yanayoelekezwa katika eneo la Galilaya. Shambulio hilo dhidi ya Israel ...
EID EL -FITRI ni mojawapo ya sikukuu muhimu kwa Waislamu kote duniani. Huadhimishwa kila mwaka baada ya kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kipindi ambacho Waislamu hufunga kwa siku 29 au 30 ...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limeufungulia Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumika kwa mechi za kimataifa za kimashindano, uamuzi ambao umefanyika siku 15 baada ya shirikisho hilo kuufungia ...
Nenda kwenye ukurasa wa kwanza / Afrika Sudan Kusini: UN yaonya kuhusu kurejea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe Makamu wa kwanza wa rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, ambaye ni hasimu wa muda ...
Ingawa madini yanaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa serikali na wawekezaji, utegemezi wake kupita kiasi huleta hatari ya kuyumbisha uchumi wa taifa. Soko la madini linakabiliwa na mabadiliko ...
Kikao hiki ni maalumu kwa ajili ya kujadili mustakabali wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo ambao uliahirishwa siku ya mechi, baada ya Simba kulalamika kuwa walizuiwa na watu waliowataja kama walinzi wa ...
Uamuzi huo umetokana na uchunguzi uliofuatia kuuawa kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe, mwaka 2022, ambapo muuaji alidai kuchukizwa na uhusiano wa karibu kati ya Abe na kanisa hilo.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果