资讯

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira,amepokelewa kwa kishindo mkoani Shinyanga. Mapokezi hayo yamefanyika leo Machi 26,2025,wakati alipowasili mkoani humo kwa ...
Puma Energy Tanzania kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Amend Tanzania, imezindua rasmi awamu ya pili ya kampeni ya ‘Be Road Safe Africa’, mpango wa kimkakati wa usalama barabarani ...
Simba SC ilipindua matokeo ya kipigo cha 2-0 kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Al Masry kwa ushindi wa 2-0 katika dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, na baadaye kushinda kwa mikwaju ya ...
Kundi lingine linadai Simba kali ni ile ya 1979 iliyopindua meza kibabe katika michuano ya CAF kwa kushinda 5-0 ugenini huko Zambia baada ya awali kulala 4-0 nyumbani. Lakini, kuna wengine wanasema ...
Lengo lake lilikuwa ni kuunganisha juhudi za taifa katika kufikia malengo ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Msingi wa hoja ya Profesa Lipumba ni kwamba mara nyingi bajeti za Serikali zinaandaliwa ...
Ubunge wa Mpina unakoma Juni 27, mwaka huu, kama ilivyo kwa wabunge wote wa Bunge la Tanzania kwa mujibu wa Katiba. Baada ya hapo, wataingia kwenye mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho ili ...
Mamlaka nchini Myanmar imesema leo kwamba tetemeko kubwa la ardhi limewaua zaidi ya watu 1,000 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 2,300 huku makumi ya wengine wakiwa hawajulikani walipo. Mamlaka ...
语析是一个强大的问答平台,结合了大模型 RAG 知识库与知识图谱技术,基于 Llamaindex + VueJS + FastAPI + Neo4j 构建。 在启动前,您需要提供 API 服务商的 API_KEY,并放置在 src/.env 文件中(此文件项目中没有,需要自行参考 src/.env.template创建)。更多可配置项,可参考 ...