Unguja. Wizara ya Maendeleo ya Makazi ipo katika hatua za kutafuta wawekezaji watakaowezesha ujenzi wa kisasa katika maeneo ya Kilimani, Kikwajuni na Michenzani na kubomoa majengo yaliyopo ya zamani ...
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma imependekeza jimbo la Dodoma Mjini kugawanywa na kuwa na majimbo mawili ...