Vita hivi kati ya Rwanda na DRC vinaleta wasiwasi ndani ya Umoja wa Afrika ... Raila Odinga wa Kenya, alipoulizwa na mwandishi wa habari, alijibu tu: "Sitaki kuzungumzia suala hilo." ...
Fanoos, taa ya mfano inayowakilisha mwanga, matumaini, na umoja, imekuwa ikisafiri katika nchi mbalimbali, ikionyesha mshikamano miongoni mwa jamii ya Ismaili duniani kote. Kuwasili kwake Tanzania ...