Wakati mkewe Sylvia na mtoto wao wa kiume Noureddin wakiwa bado korokoroni, rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo Ondimba ameamua kuanzisha mgomo mpya wa kula ili kupinga kuendelea kuzuiliwa licha ya ...
Mkali huyu wa Hip-hop anayeshikilia rekodi ya kuwa na albamu nyingi zaidi kati ya wasanii wa muziki huo na akishika namba tatu kati wa wasanii Bongo wenye albamu nyingi tayari ameachia Sauti ya Jogoo ...
Miaka kumi iliyopita, maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi yalitambua ukweli wa kimsingi; ushiriki wa wanawake ni muhimu kwa ajili ya kujenga ulimwengu ...
Youssef alishinda pia raundi ya sita kwa kupata kura 26 dhidi ya 22, na hivyo Odinga kulazimika kujitoa na kuacha Youssouf apigiwe kura, ambapo alifanikiwa kufikisha 2/3 na kutangazwa kua mshindi na ...
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP Salum Hamduni, amezindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Shinyanga. Ameeleza kwamba bodi hiyo ni ya muhimu katika uendeshaji wa huduma za ...
UNAKUMBUKA mabao matatu ya hivi karibuni aliyofungwa Yanga? Sasa kocha wa timu hiyo Hamdi Miloud ameona usinchezee. Ameamua kufanya uamuzi wa haraka ili kunusuru jahazi hilo na misukosuko haswa ...
BENKI ya Azania imetangaza uzinduzi wa mfumo wake mpya wa kidijitali wa kibenki, AZANIA DIGITAL, ambao ni jukwaa la kisasa linalolenga kutoa suluhisho la kibenki linalofaa kwa wateja kote nchini.
Hata hivyo, hali ilichukua sura mpya mnamo Februari 2022, wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wa kijeshi mkubwa dhidi ya Ukraine. Vita hivyo vimechukua zaidi ya miaka mitatu sasa, na viongozi wa ...
Marekani iko chini ya mamlaka mpya. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, anajiunga na orodha inayokua ya washirika wa Marekani wanaogundua kuwa dunia chini ya Donald Trump haina uhakika na inaweza ...
NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekaribisha kuundwa kwa serikali mpya nchini Lebanon na kuthibitisha kujitolea kwa jumuiya ya kimataifa katika kuhakikisha uadilifu wa ...
Mabao hayo yamemfanya afikishe saba hadi sasa akiwa ndiye kinara wa timu hiyo yenye maskani yake mjini Bukoba na katika kuhakikisha wanaendelea kusalia na mchezaji huyo, mabosi wa Kagera waliamua ...
Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Tanzania tuko katika mkwamo wa safari ya kuandika Katiba mpya na ukichunguza sana utabaini maslahi ya kisiasa ndio kizingiti cha mchakato huu, ndio maana nauliza, mnaonaje ...