Kupunguza kula nyama na kunywa maziwa ni moja ya njia kubwa ya kupuunguza uchafuzi wako wa mazingira, utafiti mpya wa kisayansi umebaini. Lakini je kuna tofauti yoyote kimazingira kati ya kula ...
Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao.