Mpanda mijengo mirefu ambaye ni maarufu sana nchini China amefariki akionyesha moja ya ujuzi wake hatari. Wu Yongning alikuwa amejizolea maelfu ya mashabiki kwenye mtandao ya kijamii wa Weibo ...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limethibitisha kutokea kwa ajali iliyohusisha treni ya abiria iliyokuwa safarini kutoka jijini Dar Es Salaam ikielekea maeneo ya Tabora, Katavi (Mpanda), Kigoma na ...