资讯

Msanii mmoja wa muziki wa hip hop mjini Kisauni Mombasa ameanza kampeni kwa jina ''Acha Gun Shika Mike'' ili kuwarai wenzake ambao wamejiunga na magenge ya uhalifu kujiunga na sanaa hiyo ya muziki.
Mvita na kisauni ndio mitaa ilioathirika pakubwa. Hatua hiyo inajiri baada ya Gavana wa kaunti ya Mombasa Hassan Joho kuwahimiza wakaazi wa maeneo hayo kufuata maagizo hayo. Joho amedai kwamba ...
Vijana kutoka kaunti ndogo sita za Mombasa zinazojumuisha Kisauni, Nyali, Mvita, Likoni, Changamwe na Jomvu wameungana kupitia kwa muungano wa mashirika ya kijamii kuhakikisha kwamba hakuna muda ...