Mama huyu ni mwanzilishi wa shirika la WOFAK (Women fighting Aids in Kenya ) kupitia shirika hili anasema kuwa amelenga kuhakikisha kuwa kila mwanamke licha ya umri wake ,ambaye ana HIV ...
Alisema Nchini Kenya na Tanzania tayari shirika la misaada ... yatapatikana katika huduma kama vile za Malaria, Kifua Kikuu na HIV ambapo wagonjwa wengi wanatumia dawa za maradhi hayo.